Siri Ya Mafanikio

Siri Ya Mafanikio
WASILIANA NASI KWA KUTOA USHAURI, MAFUNZO MBALIMBALI YA UJASIRIAMALI NA KUFICHUA SIRI YA MAFANIKIO KUPITIA Email; siriyamafanikio@gmail.com Au Phone; 0766912725

BIASHARA YA KUKU, BATA, VIFARANGA NA MAYAI KWA ODA PIGA NAMBA HII 0766 912725

BIASHARA YA KUKU, BATA, VIFARANGA NA MAYAI KWA ODA PIGA NAMBA HII  0766 912725
Images

ANGALIA JINSI YA KUPANGA MATUMIZI KWA ASILIMIA NDANI YA MWEZI MZIMA....!!! SOMA HAPA

Linganisha mapato na matumizi. Kama mapato yote yanazidi matumizi basi bajeti hiyo uliyoiweka inakufaa bali kama matumizi yamezidi mapato kaa chini uangalie lipi sio la muhimu uondoe au upunguze fedha ulizozipanga. Ili uweze kuwa na bajeti yenye manufaa jaribu kuweka mgawanyo wa fedha kufuatana na umuhimu wa jambo husika. Kwa mfano:

Images

JE..!!!! UNATAKIWA KUISHI NA NANI BAADA YA KUOA/KUOLEWA....!!!! SOMA HAPA



Waafrika ni kawaida yetu kuishi pamoja na ndugu zetu na kusaidiana katika mambo mbalimbali ya maisha. Sio jambo geni kumkuta kijana au msichana anaishi na wadogo zake na kuwasomesha.