Linganisha mapato na matumizi. Kama
mapato yote yanazidi matumizi basi bajeti hiyo uliyoiweka inakufaa bali kama
matumizi yamezidi mapato kaa chini uangalie lipi sio la muhimu uondoe au
upunguze fedha ulizozipanga. Ili uweze kuwa na bajeti yenye manufaa jaribu
kuweka mgawanyo wa fedha kufuatana na umuhimu wa jambo husika. Kwa mfano: